A new album from Felis, Coming Out Soon – JIPE MOYO (Take Heart)

25 11 2011

God is doing big things. Together we will praise His name (Jesus) and make it more famous.

Tke heart, it will all pass

 

For those who have been waiting for this project for so long, here is the good news…

Very soon the new album JIPE MOYO (Take Heart) will be released.

"Take heart"

The Album carries 8 songs: inspiring, touching, encouraging and God praising.
YOU DON’T WANNA MISS THIS!

Check back here again soon for details on how you can get your copy both Stateside and in East Africa.

Bless you!





MY WEDDING DAY :)

18 09 2011
The newly wed at the Reception.

La Porte Indiana USA

Some of you are still wondering if its true or not :) But the answer is TRUE, that Elisabeth and I are now Husband and Wife, after being joined together in a holy matrimony on August 6, 2011 in La Porte, Indiana, United States of America. It is with so much joy that I get to inform you how sweet it was. I couldn’t notice it myself, for I was so happy and looking forward to having my wife, but for the people that came, they testified how much they’ve seen God’s presence in that Wedding ceremony and reception. Oh it was Great!

After that we went to Chicago for our lovely honeymoon, where we got to see the beauty of the place… It is amazing.

We visited all the Museums, some big restaurants, John Hancock building, Navy Pier, boat and trolley tour, and many more. Its a blessing to us and to the body of Christ.

Now that we are complete (Mr & Mrs Mubibya), let us take God’s word to the nations.

Praise God.

Eternel Covenant.

La Porte Indiana USA

IT IS OUR WEDDING DAY

La Porte Indiana USA





13 01 2011





Happy New Year 2011

13 01 2011

Welcome every one in year 2011, the FMW Music Project is to wish a Happy New Year to every one of our website viewers.
We love you all.
just expect for the best as we are starting this Year.

Enjoy!





Radio Interview

19 04 2010

Na haya unayoyaona ni kipindi cha redio kwa maandishi, ambacho kitakuwa kikirushwa kwenye stesheni mbalimbali vya redio kuanzia wiki chache zijazo. Kipindi kinarushwa na kuandaliwa na Lis Helfen, na kipindi hicho kimebeba nyimbo 5 kutoka album zangu, pia mahojiano ya moja kwa moja kati ya mimi
na Muandaaji. Karibu! Pia furahia!

Kipindi Kizima

—–~*~—–~*~—–~*~—–

(Lis)Habari za leo ndugu msikilizaji?
Karibu katika kipindi hiki maalum:
Anaeongea nawe leo hii ni mimi Elisa
kutoka Global University Tanzania:
na pia siko pekeyangu,
ila leo tunaongea na Felis Mwambalo
kuhusu maisha, tumaini na upendo.
Karibuni…

Wewe Ni Wangu

(Lis) Sawa sawa na wimbo tuliosikiliza,
Felis, Nini kilifanya uandike wimbo huu?

(Felis) Mara nyingine sisi watunzi
tunaandika nyimbo sawa na Poets
hasa wanaoandika baruwa kwa wapenzi wao.
Nami kama Poet wa Yesu au mtunzi,
niliona vyema kuandika maneno mazuri
yakumpendeza mpenzi wangu Ambaye ni Yesu.
Wakati mwengine mambo hutokea maishani,
na unahitaji mtu wa karibu kukusaidia kuyavuka.
Alie karibu yangu zaidi ya wote ni Yesu…

(Lis) Asante Felis.
Je unaweza tuambia ni wakati gani wowote
ambao Yesu alikuonekania ulipomuhitaji zaidi?

(Felis) Tangu nilipokuwa mdogo,
nilikuwa na shauku yakutumia mziki kufikisha ujumbe
Najua wote tuna shauku na maono…
Na kama wengi wenu,
sikuwa hata na namna yakufanya
maono yangu ifikie matendo au vitendo.
Ila Yesu alikuja, na kimihujiza alinifungulia njia
na nikaweza kurekodi album yangu ya kwanza, nakuizindua.
Maelfu ya watu walihudhuria,
pia wengi walitoa ushuhuda namna gani wali hudumiwa
kupitia mziki kwenye tamasha hilo.

(Lis)Asante Felis.

(Lis)Tunakukaribisha nawe ndugu msikilizaji
kuchangia maoni yako kuhusu haya tunayozungumza
kupitia internet. Kuweka mawazo au maoni yako
tembelea www.maoninamawazo.wordpress.com

Ebu tusikie wimbo huu
kutoka album ya kwanza ya Felis
iitwayo “ Yuko Njiani ”

Hakuna Amani

(Lis)Naamini wimbo huu unagusa maisha yetu wote.
Tunafahamu majanga yanayotokea ulimwenguni.
Wengine wetu wameshuhudia kwa karibu zaidi,
na yanazidi kuongezeka kote duniani

(Lis) Felis, Je, unaweza kutuambia baadhi ya vitu vigumu
ambavyo umewahi kukabiliana navyo maishani?

(Felis) Mambo nilioyoyapitia ni yale ya kawaida
ambayo wengi wenu pia mnapitia.
Ilifika wakati ambapo hapakuwa na chakula,
hakuna hata hela ya usafiri kufika kanisani
au kwenye huduma.
Siku nyingine niliumwa na kichwa sana
na sikuwa na uwezo wa kununua hata panadol,
na huku natakiwa kuhudumu mchana huo.

(Lis)Na jambo hilo ulilishindaje?

(Felis) Nilikuwa na imani ndani ya Yesu,
na niliamini katika ahadi zake.
Nilizidi kumkumbusha kwa habari ya aliyo yasema
katika Yohana 15:7 inayosema,
“Kama mkikaa ndani yangu, na neno langu ndani yenu;
ombeni lolote nami nitawapa.”
Basi niliomba nakuzidi kuomba, na hatimae akajibu.
Alinipa nguvu yaku tembea katika hali ngumu
na kunipeleka katika ushindi, ndipo nikaimba umenitendea.

(Lis)Tunaweza kubaliana wote
kuwa ni kweli tunapitia mambo magumu maishani,
Ila swali ni hili, unapopitia shida au tabu…
Je una mkimbilia nani kati wakati huo?

(Lis)Nadhani tutapata jibu katika wimbo huu.

Umenitendea

(Lis) Asante kwa wimbo mzuri Felis

(Lis)Je, unaweza tuambia baadhi ya mambo
ambayo Mungu amekutendea?

(Felis)Mungu amenisaidia kufanikisha shauku yangu;
kuwafikia watu wengi kupitia mziki…
Nazidi kupokea simu na ujumbe mfupi wa maandishi
kutoka sehemu mbalimbali popote nchini hata sehemu ambazo sijawahi fika,
watu wakitowa ushuhuda namna gani Mungu amekuwa
akitumia nyimbo zangu kuwagusa na kuwa hudumia.
Pia kiroho pia, amenipeleka hatua nyingine katika kumuelewa.

(Lis)Basi tusikie wimbo mwingine kabla hatuja endelea…

Tutamsifu Bwana

(Lis)I love this song!

(Lis)Felis, unaweza tuambia nini kimekupa utayari
wakutoa dhabiu za sifa kwa Mungu?

(Felis) Kweli ninazo sababu, na wala sio moja.
Kwanza, kwasababu ni agizo, kama ilivyo katika Zaburi 150:6
“Na kila mwenye pumzi na amsifu Bwana.”
Pili, kwakuwa amenitowa kwenye giza,
hadi kwenye nuru yake ya milele.
Tatu, alijitoa uhai wake kwa ajili yangu,
na sina chakumlipa kwa alicho kifanya,
nami nimejitoa dhabiu kwa ajili ya kuimba sifa zake.

(Lis)Pata ujumbe huu….

Yuko Njiani (Remix)

(Lis)Asante Felis kwa kuwa pamoja nasi leo.

(Felis) Asante sana

(Lis) Kwa heri! Tutaonana siku nyingine.

(Lis)Tunapomalizia kipindi hiki,
ningetaka ufikiri kuhusu upendo wa Yesu.
Ukisoma katika kitabu cha Yohana 3:16,
Neno la Mungu linasema
“Kwa maana jinsi hii
Mungu aliupenda ulimwengu
hata akamtoa mwanae wa pekee;
ili kila amuaminie asipotee
bali awe na uzima wa milele.”

(Lis)Msikilizaji wangu…
Je, tumaini lako ni lipi?

(Lis)Je, umewahi kuupata huo Upendo?

(Lis)Kumbuka– kwa maoni yako au wazo kuhusu tulioyaongea,
unaweza kutumia tovuti yetu www.maoninamawazo.wordpress.com





Merry Christmas and Happy New Year!

15 01 2010

Wishing you all a Merry Christmas
& a
Happy New Year!
Krismasi Njema na Heri ya Mwaka Mpya!
Jouyeux Noel et Bonne Année!





Upcoming Events!

10 12 2009

World Hope Tour – Dar es Salaam

The Sowers Group will be touring in Dar es Salaam this Christmas!
Come out and enjoy the infectious grooves and rhythms of the Sowers Group on:

Wednesday, December 24 from 8 pm – 6 am at the Stadium

Sunday, December 27 from 2 pm – 6 pm at City Christian Center – Upanga area


Sauti za Busara – Zanzibar

The Sowers Group will be part of Sauti za Busara in Zanzibar, February 2010.
More information coming soon!

F.M.W. Music Project -
New Artists & Partnerships!

Be on the look out for the list of new upcoming
artists that are being assisted by F.M.W. Music Project!

JVC Studio agrees to work with
F.M.W. Music Project
to assist new artists

JVC Studio, operated by producer, Fadhili Marandu,
is located in the Mollel building in Arusha.





Hey! This is Your Page!

25 09 2009

Hey! I know you love music, I know you love God, and you also love our infos!
So don’t be afraid of doing any thing that can help us.
Post your comment and we will work on it.
Lets make this thing nice until God Himself is proud of what we are doing.
This Page is Mine, Yours, His and Hers.
Make everything online good and make the name of Jesus famous!
Enjoy!








Follow

Get every new post delivered to your Inbox.